The Day of the African Child has been celebrated on June 16 every year since 1991, when it was first initiated by the OAU Organisation of African Unity. It honors those who participated in the Soweto Uprising in 1976 on that day.
From Genila Hiel,
Nakumbuka June 16, 2007.
Nikiwa darasa la 3, shule ya msingi Bunju A, nilichaguliwa na walimu kwenda kuwakilisha shule yangu kwenye tukio la kuazimisha #AfricanChildDay , Pugu. Nikiwa na @WorldVision
..
Ndio siku niliyotambua kwa nini huwa tunaazimisha siku hii.
ππΌππΌ
Nikiwa ndani ya Tshirt kubwa la world vision, nilifurahia maandamano yale.
Nikiwa nimeshikilia bango likiwa limeandikwa "SIKU YA MTOTO WA AFRICA"
Sikuwa najua haki zangu kama mtoto, sikuwa najua kuna watoto walizililia wakati fulani nyuma.
Kuzijua kama mtoto ni muhimu, ilinipa chachu ya kutaka kujua zaidi.
Kujua ni nini watoto hupitia nyuma ya kuja shule, kucheza, kufurahi, kutabasamu.
Kuna mengi machungu hufanywa kwao, na kwa wakati fulani hukosa pa kukimbilia, maana wakuwakimbilia ndio huyafanya hayo.
Nafurahia siku hii sababu hukumbusha watu sehemu ya mtoto kwenye jamii.
Hukumbusha watu namna watoto wenye uthubutu walipaza sauti zao kwa ajili yao, na kwa ajili ya watoto wengine wote Afrika.
Kwa kushirikiana na mashirika mbalimbali, kila mtu kwenye jamii ana jukumu la kumlinda mtoto, bila kuzingatia ni wangu au ni wa yule.
Kuwa sehemu ya tabasamu na mafanikio yake.
Mtengenezee mazingira ya kutimiza ndoto zake.
#InternationalAfricanChildDay
#AfricanChildDay2020
Sasa hivi, nikiwa mwaka wa pili chuoni.
Bado natambua siku hii muhimu.
Na kwa sehemu yangu, bado nawasaidia watoto wengine kupaza sauti zao kwa ajili ya kutimiziwa haki zao, kwa ajili ya mafanikio yao.
#Africanchildday2020
Agnes Kenn
Day of the African Child has been celebrated on 16June to commemorate those killed during the Soweto Uprising in South Africa, and to recognize the courage of the students who marched for their right to an education.
In 2020 we reflect on Access to a child-friendly Justice System.
Imagine you could be face to face with your 10- years old self at this very moment in time. What advice would you give them? We''d love to hear your take.
Farhan Yusuph
Strive to be a learner & put self growth above everything else. Also learn French as a language as it is very important if you want to communicate with fellow Africans. #ChildOfAfrica @TumainiMakole @FridonM @ArabiFrank what would you say?
Frank Arabic
Have guts to stand on what you believe. Discipline is the key. Protect your mental health at all costs. Travel around the world and learn from everyone you meet. #ChildOfAfrica #DAC2020 @WhitefrankFrank @gambunakoya @salmasardin70 what would you say?
White Frank
Be courageous, Fear is the worst enemy; Don't ertatain it.
Prioritise Learning and persuasion of higher ideal!
Seek wisdom;It is protective in nature!
Worship, working smart and living; are important blocks.
Have values and never trade them
@HamisiMsagama what would you say?
Hamisi Msagama
Be smart, listen more than talking..
Don't let Family background trap u in the same circle..
Learn and interact
U don't need permission to be potential to the world.
Have boundaries.
Stop loosing time in your hobbies it's time for your passion.
@DavidMuhunzi what would you say?
David Muhunzi
Seek for wisdom, be disciplined.
Find what you love, do it passionately. Don't look upon perfection, strive for excellence. Don't afraid to make mistakes, learn from them. To be is to do, to do is to dare. Don't afraid to try. Protect your health
@CuriousNilla what would you say?
Genila Hiel
Explore yourself to know what you can do passionately, do it with all your heart. Live fully. Make sure your abilities bless yourself and those around you.
@hellenlifetalks what would you say?
Rebecca Nakiguli
I would tell my 10 year old self to be responsible and accountable, and not to make choices according to what surrounds her because life is made up of the choices we make for ourselves.
#ChildOfAfrica
Comments
Post a Comment